The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
Nimekuwa na tatizo la Mmba mgongoni kwa muda mrefu, zilianza kama mabaka niliyapata nikiwa nafanya mazoezi, benchi nililokuwa nalalia kwenye mazoezi lilinikwangua likaacha michubuko baadae ikageuka kuwa mmba. nimetumia vidonge kwa mwezi mzima, zikaisha, lakini zikarudi tena, nikatumia tena vidonge kwa week mbili na dawa ya kupaka lakini bado zimegoma kuisha.
Napenda kufahamu kama naweza pata dawa mbadala.
AMANI YA BWANA IWE NANYI.
Napenda kufahamu kama naweza pata dawa mbadala.
AMANI YA BWANA IWE NANYI.