Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,494 Jan 19, 2011 #81 Lizzy said: Ntafuata ushauri shem!Naomba unifikishie ujumbe kwa baba mchungaji wangu...tell him I miss him like crazy...ana I love him so...so! Click to expand... Usikonde shem jamaa anakula bata sana huko! Nimeongea naye anasema vile vile anakumiss kama Mlinzi anavyo miss usingizi
Lizzy said: Ntafuata ushauri shem!Naomba unifikishie ujumbe kwa baba mchungaji wangu...tell him I miss him like crazy...ana I love him so...so! Click to expand... Usikonde shem jamaa anakula bata sana huko! Nimeongea naye anasema vile vile anakumiss kama Mlinzi anavyo miss usingizi
M Mkuki JF-Expert Member Sep 8, 2010 364 42 Jan 19, 2011 #82 endelea kuoza tu mpaka uzikwe wanzio wanafaid
U uporoto01 JF-Expert Member May 23, 2008 4,700 1,415 Jan 19, 2011 #83 Lizzy said: Wengine wanapenda uchochoroni..wengine kwenye uwazi!Tatizo liko wapi? Click to expand... Hao wa uchochoroni achana nao waambie baba hapendi.
Lizzy said: Wengine wanapenda uchochoroni..wengine kwenye uwazi!Tatizo liko wapi? Click to expand... Hao wa uchochoroni achana nao waambie baba hapendi.
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,824 59,439 Jan 19, 2011 #84 uporoto01 said: Hao wa uchochoroni achana nao waambie baba hapendi. Click to expand... Mwambie huyo anaetaka tufiche visivyohitaji kufichwa!
uporoto01 said: Hao wa uchochoroni achana nao waambie baba hapendi. Click to expand... Mwambie huyo anaetaka tufiche visivyohitaji kufichwa!
chiko JF-Expert Member Feb 24, 2010 580 245 Jan 20, 2011 #85 Lizzy said: Wengine wanapenda uchochoroni..wengine kwenye uwazi!Tatizo liko wapi? Click to expand... Naam naona Lizzy kichwa kinaanza kujaa, sawa basi umpendwaaaaaa!!!!!!, kawaida mtu akipendwa, huji hisi kama uko mbingu ya saba!!!!!!!!!!!
Lizzy said: Wengine wanapenda uchochoroni..wengine kwenye uwazi!Tatizo liko wapi? Click to expand... Naam naona Lizzy kichwa kinaanza kujaa, sawa basi umpendwaaaaaa!!!!!!, kawaida mtu akipendwa, huji hisi kama uko mbingu ya saba!!!!!!!!!!!
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,824 59,439 Jan 20, 2011 #86 chiko said: Naam naona Lizzy kichwa kinaanza kujaa, sawa basi umpendwaaaaaa!!!!!!, kawaida mtu akipendwa, huji hisi kama uko mbingu ya saba!!!!!!!!!!! Click to expand... Hahahahaha!Sasa nisivimbe bichwa vipi na mtoto wa kike nimependwa mpaka mwisho wa kupendwa?
chiko said: Naam naona Lizzy kichwa kinaanza kujaa, sawa basi umpendwaaaaaa!!!!!!, kawaida mtu akipendwa, huji hisi kama uko mbingu ya saba!!!!!!!!!!! Click to expand... Hahahahaha!Sasa nisivimbe bichwa vipi na mtoto wa kike nimependwa mpaka mwisho wa kupendwa?