chiqutitta JF-Expert Member Joined Nov 13, 2015 Posts 1,160 Reaction score 3,125 Aug 9, 2023 #1 Habari zenu jamani, Nimelipia Azam kwa kukosea, badala ya 25,000 nimelipia 250,000. Msaada wenu niwapigia huduma kwa wateja hata haipokelewi.
Habari zenu jamani, Nimelipia Azam kwa kukosea, badala ya 25,000 nimelipia 250,000. Msaada wenu niwapigia huduma kwa wateja hata haipokelewi.
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,301 Reaction score 89,417 Aug 9, 2023 #2 Na wamefungwa uko wana hasira. Sijui kama itarudi.
Elvis Legacy JF-Expert Member Joined Aug 10, 2017 Posts 4,408 Reaction score 6,642 Aug 9, 2023 #3 Piga kesho muda wa kazi watapokea. Uzuri pesa ipo kwenye akaunti yako. Na azam ni waungwana sana watakurudishia pesa yako. Don't panic
Piga kesho muda wa kazi watapokea. Uzuri pesa ipo kwenye akaunti yako. Na azam ni waungwana sana watakurudishia pesa yako. Don't panic
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 20,324 Reaction score 62,214 Aug 9, 2023 #4 Ndugu mteja Hujakosea utakaa miezi 10 bila kulipia Asante.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,359 Reaction score 108,499 Aug 9, 2023 #5 Sina uhakika sana lakini kwa ninavyojua mtu hukatwa kulingana na kifurushi alichojiunga, anything extra inabaki kama pocket money...
Sina uhakika sana lakini kwa ninavyojua mtu hukatwa kulingana na kifurushi alichojiunga, anything extra inabaki kama pocket money...
chiqutitta JF-Expert Member Joined Nov 13, 2015 Posts 1,160 Reaction score 3,125 Aug 9, 2023 Thread starter #6 Mega Mind Nyerere said: Piga kesho muda wa kazi watapokea. Uzuri pesa ipo kwenye akaunti yako. Na azam ni waungwana sana watakurudishia pesa yako. Don't panic Click to expand... Sawa ahsante ngoja nisubiri hiyo kesho
Mega Mind Nyerere said: Piga kesho muda wa kazi watapokea. Uzuri pesa ipo kwenye akaunti yako. Na azam ni waungwana sana watakurudishia pesa yako. Don't panic Click to expand... Sawa ahsante ngoja nisubiri hiyo kesho
Lavit JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 15,894 Reaction score 36,296 Aug 9, 2023 #7 Umelipia miezi 10 hata hujakosea relax Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
chiqutitta JF-Expert Member Joined Nov 13, 2015 Posts 1,160 Reaction score 3,125 Aug 9, 2023 Thread starter #8 Lucha said: Ndugu mteja Hujakosea utakaa miezi 10 bila kulipia Asante. Click to expand... Mh hela ina bajeti yake ni vile tu nilikuwa nimevurugwa
Lucha said: Ndugu mteja Hujakosea utakaa miezi 10 bila kulipia Asante. Click to expand... Mh hela ina bajeti yake ni vile tu nilikuwa nimevurugwa
rikiboy JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 22,164 Reaction score 43,858 Aug 9, 2023 #9 chiqutitta said: Sawa ahsante ngoja nisubiri hiyo kesho Click to expand... Kitu pekee ambacho nina uhakika nacho ni HELAAA HAIRUDIII...!!
chiqutitta said: Sawa ahsante ngoja nisubiri hiyo kesho Click to expand... Kitu pekee ambacho nina uhakika nacho ni HELAAA HAIRUDIII...!!
chiqutitta JF-Expert Member Joined Nov 13, 2015 Posts 1,160 Reaction score 3,125 Aug 9, 2023 Thread starter #10 Watu8 said: Sina uhakika sana lakini kwa ninavyojua mtu hukatwa kulingana na kifurushi alichojiunga, anything extra inabaki kama pocket money... Click to expand... Dah king'amuzi chenyewe nimemlipia mtu
Watu8 said: Sina uhakika sana lakini kwa ninavyojua mtu hukatwa kulingana na kifurushi alichojiunga, anything extra inabaki kama pocket money... Click to expand... Dah king'amuzi chenyewe nimemlipia mtu
uttoh2002 JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 19,703 Reaction score 37,944 Aug 9, 2023 #11 chiqutitta said: Habari zenu jamani.... nimelipia Azam kwa kukosea, badala ya 25000 nimelipia 250000,. msaada wenu niwapigia huduma kwa wateja hata haipokelewi. Click to expand... Sidhani kama kuna refund, itasukumwa tu mbele
chiqutitta said: Habari zenu jamani.... nimelipia Azam kwa kukosea, badala ya 25000 nimelipia 250000,. msaada wenu niwapigia huduma kwa wateja hata haipokelewi. Click to expand... Sidhani kama kuna refund, itasukumwa tu mbele
chiqutitta JF-Expert Member Joined Nov 13, 2015 Posts 1,160 Reaction score 3,125 Aug 9, 2023 Thread starter #12 rikiboy said: Kitu pekee ambacho nina uhakika nacho ni HELAAA HAIRUDIII...!! Click to expand... Bora hata kingekuwa changu nimemlipia mtu
rikiboy said: Kitu pekee ambacho nina uhakika nacho ni HELAAA HAIRUDIII...!! Click to expand... Bora hata kingekuwa changu nimemlipia mtu
T Tony Laurent JF-Expert Member Joined Jan 5, 2011 Posts 6,392 Reaction score 8,295 Aug 9, 2023 #13 Lucha said: Ndugu mteja Hujakosea utakaa miezi 10 bila kulipia Asante. Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£
Lucha said: Ndugu mteja Hujakosea utakaa miezi 10 bila kulipia Asante. Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 20,324 Reaction score 62,214 Aug 9, 2023 #14 chiqutitta said: Mh hela ina bajeti yake ni vile tu nilikuwa nimevurugwa Click to expand... Ndugu mteja hata sisi tumeingiza kwenye bajet zetu Asante Azam TV burudani kwa wote 10 daima damdam
chiqutitta said: Mh hela ina bajeti yake ni vile tu nilikuwa nimevurugwa Click to expand... Ndugu mteja hata sisi tumeingiza kwenye bajet zetu Asante Azam TV burudani kwa wote 10 daima damdam
bongo dili JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 12,345 Reaction score 25,302 Aug 9, 2023 #15 chiqutitta said: Bora hata kingekuwa changu nimemlipia mtu Click to expand... Si useme tu mtu ndio nini kwani wife anaujua upo jf
chiqutitta said: Bora hata kingekuwa changu nimemlipia mtu Click to expand... Si useme tu mtu ndio nini kwani wife anaujua upo jf
falcon mombasa JF-Expert Member Joined Mar 5, 2015 Posts 9,213 Reaction score 9,334 Aug 9, 2023 #16 Na hivi wamefungwa sijui itakuwaje
Carasco Putin JF-Expert Member Joined Apr 23, 2022 Posts 12,593 Reaction score 35,853 Aug 9, 2023 #17 Kivumbi Leo πππππ
chiqutitta JF-Expert Member Joined Nov 13, 2015 Posts 1,160 Reaction score 3,125 Aug 9, 2023 Thread starter #18 bongo dili said: Si useme tu mtu ndio nini kwani wife anaujua upo jf Click to expand... Hata sijakuelewa!
bongo dili said: Si useme tu mtu ndio nini kwani wife anaujua upo jf Click to expand... Hata sijakuelewa!
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,492 Reaction score 176,558 Aug 9, 2023 #19 Malipo ya miezi 10 saafi kabisa. Wewe tulia ule vyuma hivyo.
Mungu Akulinde Kipenzi Senior Member Joined Jan 7, 2017 Posts 180 Reaction score 644 Aug 9, 2023 #20 Kiendacho kwa Mganga huwa hakirudi ndugu yangu