Sitaki kuzeeka mapema kisa timu ya mpila. Hela nitafute kwa shida pia hata timu ya mpila nayo inipe stress??
Wana Simba mtanisamehe sana, kwa Yanga hii tutasubiri sana.
Kama huwezi kushindana nao basi ungana nao..
Sitaki kuzeeka mapema kisa timu ya mpila. Hela nitafute kwa shida pia hata timu ya mpila nayo inipe stress??
Wana Simba mtanisamehe sana, kwa Yanga hii tutasubiri sana.
Kama huwezi kushindana nao basi ungana nao..
Sitaki kuzeeka mapema kisa timu ya mpila. Hela nitafute kwa shida pia hata timu ya mpila nayo inipe stress??
Wana Simba mtanisamehe sana, kwa Yanga hii tutasubiri sana.
Kama huwezi kushindana nao basi ungana nao..
Huwa hakuna shabiki wa aina hiyo. Mashabiki wanaweza wakaiacha timu yao na kwenda kuanzisha timu zao au huenda kuchukua timu iliyo dhaifu na kwenda kuiongezea nguvu, lakini huo ushabiki wa kuhama timu kisa inafanya vibaya haupo.
Timu inapofanya vibaya maana yake ni wakati wenu wa ku feel challenged kuingia kuongeza support, siyo kukimbia.
Mfano mzuri ni wale walioiacja Yanga mwaka 1936!wakaenda kuanzisha timu yao ikaitwa Queens, baadaye Sunderland na baadaye tena Simba, wengine tena wakaiacha Yanga na kwenda kuanzisha timu yao wakaiita Pan African.
Mwingine akaiacha Simba na kwenda kuanzisha Azam