Kwanza kwa nini umesaliti ndiyo yako. Na kabla ya kusaliti kwa nini hujampima ukimwi ili usiwe na wasi wasi. Na pili wewe leo tu kuchepuka bila zana unakuwa na mawaza hivi, wakati huyo uliyechepuka nae kazoea bila zana na hana wasi wasi.
nimefanya mapenzi bila kondomu lakini sijasugua sana k ila nikakpiga kimoja nikaacha na baada ya hapo nikanawa je naweza pata ukimwi na nichukue mda gani kukutana na mke wangu msaada tafadhali sana wadau
nimefanya mapenzi bila kondomu lakini sijasugua sana k ila nikakpiga kimoja nikaacha na baada ya hapo nikanawa je naweza pata ukimwi na nichukue mda gani kukutana na mke wangu msaada tafadhali sana wadau
Namuhurumia mkeo maana kama huyo ulokua nae ni mwathilika na wewe ukawa ndo ushaubeba automatically na mkeo lazima utamuambukiza!
Nenda hospitali ili ufanyiwe intervention ya haraka,ikiwezekana uanzishiwe PEP,ila tamaa nazo uache utaangamiza familia yako!