Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
VERY CLZ......
Mnaniboa nyie baadhi ya wanaume mcio jua kukutaliwa au kuachwa... mtu unamtaka vzur mnakubaliana mnapendana mnaachana au unamkataria... apo sasa ndo panakua gabayaa yan mtu anakug'ang'ania ka kupe... bora ata ingekuwa kwa mapenz bac ukajuaa ...yan kwa shariii mwanaume mzima unaanzaje kuntukana mwanamkee??? kabsaa yan unajiita mwanaumee.. ebu kuweni muache ulimbuken wa mapenz mtu kaka akutaki c unamuachaaaa kwan mamako huyoo... uo n ushambaaa wanaume wenye akir timam hawafanyi hivooo....mnaboa bana... aaaahh...
ndo nishasema miee msg send..
samahan kwa atayenielewa tofaut.
^^
JF sasa ni kama ile hadithi maarufu ya 'MFALME ANA MASIKIO KAMA YA PUNDA'
ambapo mambo yakikuzidi nje unayeleta humu Mti ma JF unaitangazia dunia.
Sijui watu8 anaikumbuka hii hadithi ?
^^
Jamaa sasa kachoka/kaishiwa unaamua kummwaga ,umesahau ofa zake zote,wanawake bwana
sikitiko la mahaba lazidi msiba!!
VERY CLZ......
Mnaniboa nyie baadhi ya wanaume mcio jua kukutaliwa au kuachwa... mtu unamtaka vzur mnakubaliana mnapendana mnaachana au unamkataria... apo sasa ndo panakua gabayaa yan mtu anakug'ang'ania ka kupe... bora ata ingekuwa kwa mapenz bac ukajuaa ...yan kwa shariii mwanaume mzima unaanzaje kuntukana mwanamkee??? kabsaa yan unajiita mwanaumee.. ebu kuweni muache ulimbuken wa mapenz mtu kaka akutaki c unamuachaaaa kwan mamako huyoo... uo n ushambaaa wanaume wenye akir timam hawafanyi hivooo....mnaboa bana... aaaahh...
ndo nishasema miee msg send..
samahan kwa atayenielewa tofaut.
^^
JF sasa ni kama ile hadithi maarufu ya 'MFALME ANA MASIKIO KAMA YA PUNDA'
ambapo mambo yakikuzidi nje unayeleta humu Mti ma JF unaitangazia dunia.
Sijui watu8 anaikumbuka hii hadithi ?
^^