Nimeacha kazi leo

Mkuu naomba uwe unatupa updates ya maisha mapya
 
Good step ila lazima wengine tuajiliwe ili kuleta uwiano sawa hata huku napo tunatimiza ndoto zetu usikariri mkuu
 
sawa KIONGOZ Mimi niliamua kuacha kazi baada ya kuambiwa niwe nampigia saluti.mtoto wangu wa kumzaa
yaani nilimsomesha mwenyewe mpaka chuo na pia nikamfanyia mpango mwenyewe wa kuingia jw nashangaa haijapita miaka m3 kawa Capteni Mimi nikiwa na ka saa kangu nikaona uboya nikaacha kazi
 
Yeah. Mlizoea kula kwa mrija huko Procurement. Kazi ya sales ni nyokoo! Wiki tu, kitambi kinapukutika choote kama mgonjwa wa TB!
 


Kama kazi yako no kutafuta wateja wa kampuni na Una Biashara yako, Bora kutafuta wateja wa Biashara yako...... Yaweza kuwa mgumu, but yaweza kuwa ngumu as u start, jipe moyo na uwe consistent
 
Hongera. Ila huku si lelemama kama wengi wanavyoshadadia humu!

Kuna machungu ya kutosha....
 
Umeongea point sana mkuu.... usawa huu ni kujilipua tu either utoboe ufike kilele cha mafanikio au ushindwe but not staying in between....
Get rich or atleast die trying
 
Kila la kheri kujiajili kwa 80% kuna raha yake .....karibu sana hutapata kikubwa saaan ila japo kidogo mungu atajaalia
 
Hongera na kila la Kheri!
 
Team roho mbaya watasema umepiga ela..umesepa..All in all Wewe ni hero.bg up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…