Wataalam, nimebahatika kupata nilesat, 201, lakini nilesat tajwa hapo juu haziingii hata niki blind scan, nifanyeje, au ku yangu c nzuri? natumia offset dish ya 130cm x 120cm,ku ya ELSAT ya 0.3db na receiver ya strong technosat mpeg4 hd,
Natanguliza shukrani.
aisee mpaka naogopa kwakweli, sijui kama tuta fika kama mambo mdio hivi.
kaka tusichoke ahsante kwa busara zako,unajua walimu wako tofauti,hata wale ambao waliona nimekosea nao wao kwa uelewa wao ndo hawajui zaidi,maana kama nimekosea kuuliza,je wao wenye uelewa wamemerekebisha namna swali linavyotakiwa liwe na je wamelitolea majibu?hakuna hata mmoja kati ya hao wawili aliyenirekebisha,nadhani wataalamu wote wangekuwa hivi,hakuna ambaye angejifunza kitu
Wataalam, nimebahatika kupata nilesat, 201, lakini nilesat tajwa hapo juu haziingii hata niki blind scan, nifanyeje, au ku yangu c nzuri? natumia offset dish ya 130cm x 120cm,ku ya ELSAT ya 0.3db na receiver ya strong technosat mpeg4 hd,
Natanguliza shukrani.
kaka tusichoke ahsante kwa busara zako,unajua walimu wako tofauti,hata wale ambao waliona nimekosea nao wao kwa uelewa wao ndo hawajui zaidi,maana kama nimekosea kuuliza,je wao wenye uelewa wamemerekebisha namna swali linavyotakiwa liwe na je wamelitolea majibu?hakuna hata mmoja kati ya hao wawili aliyenirekebisha,nadhani wataalamu wote wangekuwa hivi,hakuna ambaye angejifunza kitu
na we kaka ni wale wale,kama umeeelewa nilipokosea,umenirekebisha na kujibu swali langu?mimi cjui ndo mana nimeuliza kaka
Wataalam, nimebahatika kupata nilesat, 201, lakini nilesat tajwa hapo juu haziingii hata niki blind scan, nifanyeje, au ku yangu c nzuri? natumia offset dish ya 130cm x 120cm,ku ya ELSAT ya 0.3db na receiver ya strong technosat mpeg4 hd,
Natanguliza shukrani.