Mama gani anapigia viboyfriend simu?
Real african mama would never do that shit,
Tena akisikia huli coz of a boy, damn she gonna beat the shit out of you
Piga chini husimpotezee muda kwa huruma zisizo na msingi
Kwa story za waliooaTalking from experience au??
mwaka jana mwishoni kuna msichana nilianza nae uhusiano wa kimapenzi japo kua rafiki zangu karibu wote hawakuniunga mkono mimi kua na yule dada. nami nilichukulia kawaida tu ni maoni tu ambayo watu wanweza wakazungumza.
mwanzoni mwa mwaka tukiwa katika penzi zito kuna maneno aliyokua anaongeaga nami nilikua siyapendi japo sio mara zote nilikua nikimkaripia kuhusu kauli zake,
mara utamsikia akisema umenikuta kwetu nikiwa nakula,navaa na chochote ninachotaka kutoka kwetu nakipata,
mara pamoja na kwamba natongozwa na watu wenye hela na magari ninawakataa nimeamua kukupenda wewe kwa sababu unamapenzi ya kweli japo hauna pesa bado, mara saa ingine nikisafiri ananiambia ulienda kwa wadada wengine.
imepita kipindi hivi kama mwezi hatujawasiliana vizuri na juzi nikakaza sitaki mawasiliano nae tena leo mama yake mzazi kanipigia simu ananieleza kwamba yule dada hataki kula wala kusikia chochote hivyo anaomba nimsamehe mwanae!!!
na mimi sipo tayari kabisa kua nae tena kulingana na sababu hizo na zingine nyingi. sasa wakuu nifanyeje???
na dada anataka kuolewa lakini mi ndo kwanza nishabadilisha maamuzi
msaada samahani....
Kwani wewe una nini cha ajabu? Unaonekana kinakuuma huyo dada kusema angekuwa na mwenye hela unahisi hufikii viwango sasa kuokoa your ego unaamua kumdegrade huyo binti eti hana kigezo cha kuwa mke wako kwani ulishikiwa bunduki uwe nae... man up boyyani kwa kweli mi naona ni chenga tu, na kigezo cha kua mke wangu hana ata kimoja zaidi ya ile portability yake tu, ila sifa zingine hana
Ikiwa ni hivyo, je kwa nini unalisumbua baraza?????Nimeshawahi kujifunza kitu na kitu chenyewe ni kutorudi nyuma kama umeamua kusonga mbele songa mbele
Kuna sehemu umeruka mkuu! Kama Kweli unataka ushauri sema kile ambacho hujasema!mwaka jana mwishoni kuna msichana nilianza nae uhusiano wa kimapenzi japo kua rafiki zangu karibu wote hawakuniunga mkono mimi kua na yule dada. nami nilichukulia kawaida tu ni maoni tu ambayo watu wanweza wakazungumza.
mwanzoni mwa mwaka tukiwa katika penzi zito kuna maneno aliyokua anaongeaga nami nilikua siyapendi japo sio mara zote nilikua nikimkaripia kuhusu kauli zake,
mara utamsikia akisema umenikuta kwetu nikiwa nakula,navaa na chochote ninachotaka kutoka kwetu nakipata,
mara pamoja na kwamba natongozwa na watu wenye hela na magari ninawakataa nimeamua kukupenda wewe kwa sababu unamapenzi ya kweli japo hauna pesa bado, mara saa ingine nikisafiri ananiambia ulienda kwa wadada wengine.
imepita kipindi hivi kama mwezi hatujawasiliana vizuri na juzi nikakaza sitaki mawasiliano nae tena leo mama yake mzazi kanipigia simu ananieleza kwamba yule dada hataki kula wala kusikia chochote hivyo anaomba nimsamehe mwanae!!!
na mimi sipo tayari kabisa kua nae tena kulingana na sababu hizo na zingine nyingi. sasa wakuu nifanyeje???
na dada anataka kuolewa lakini mi ndo kwanza nishabadilisha maamuzi
msaada samahani....