Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,432 May 6, 2015 #1
S SUWI JF-Expert Member Joined Sep 27, 2010 Posts 548 Reaction score 56 May 6, 2015 #2 Kwa nini unasema ukifa uzikwe masaki?????????
Shy land JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 6,245 Reaction score 2,848 May 6, 2015 #3 ha ha ha mmh!
sosoliso Platinum Member Joined May 6, 2009 Posts 8,543 Reaction score 9,478 May 6, 2015 #4 Ha ha ha Bujibuji lol.. Ni kurahishiwa au..? Maana naona kama macho yanamtoka vileee.. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 May 6, 2015 #5 Hapo gari likifunga breki ya ghafla tutamsahau
Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,254 May 6, 2015 #6 Duu inabidi basi angetengenezewa maelezo ya kisukuma ya uvaaji wa mkanda!
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 May 6, 2015 #7 ha haha ha haha jamaa zangu hawa .. huwa nikaaga nao safi sana wanatoa maelezo kwa nukta hadi unachoka kusikiliza
ha haha ha haha jamaa zangu hawa .. huwa nikaaga nao safi sana wanatoa maelezo kwa nukta hadi unachoka kusikiliza
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 May 6, 2015 #8 Una utani wa ngumi wewe
BIGURUBE JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 6,748 Reaction score 4,257 May 6, 2015 #9 Magana gambiti...magana ganyamu???
V Victoire JF-Expert Member Joined Jul 4, 2008 Posts 25,006 Reaction score 60,104 May 6, 2015 #10 Hiyo mtu kaamua kuact tu
V Victoire JF-Expert Member Joined Jul 4, 2008 Posts 25,006 Reaction score 60,104 May 6, 2015 #11 BIGURUBE said: Magana gambiti...magana ganyamu??? Click to expand... Nabhita hi isaka naniga ng'ondi,tingi tingi mu mbuga,jibu hapo
BIGURUBE said: Magana gambiti...magana ganyamu??? Click to expand... Nabhita hi isaka naniga ng'ondi,tingi tingi mu mbuga,jibu hapo
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 May 6, 2015 #12 na alivyotoa macho naamini na n'nya ishapita...
Elungata JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 40,343 Reaction score 33,487 May 6, 2015 #13 wasukuma ni mwisho jamani,wakianza kuongea hapa kwa nahau za kisela za kisukuma utavunjika mbavu
BIGURUBE JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 6,748 Reaction score 4,257 May 6, 2015 #14 Victoire said: Nabhita hi isaka naniga ng'ondi,tingi tingi mu mbuga,jibu hapo Click to expand... Ginehe mwanangwa...magana va nyamu Victorie😱 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Victoire said: Nabhita hi isaka naniga ng'ondi,tingi tingi mu mbuga,jibu hapo Click to expand... Ginehe mwanangwa...magana va nyamu Victorie😱
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 May 6, 2015 #15 toleo la pili
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,432 May 15, 2015 Thread starter #16 SUWI said: Kwa nini unasema ukifa uzikwe masaki????????? Click to expand... Nikiwa hai sijaishi Masaki, nikifa nataka nikaishi huko
SUWI said: Kwa nini unasema ukifa uzikwe masaki????????? Click to expand... Nikiwa hai sijaishi Masaki, nikifa nataka nikaishi huko
sosoliso Platinum Member Joined May 6, 2009 Posts 8,543 Reaction score 9,478 May 15, 2015 #17 Bujibuji said: Nikiwa hai sijaishi Masaki, nikifa nataka nikaishi huko Click to expand... Bahati mbaya hakuna makaburi Masaki Bujibuji.. Makaburi ya Kinondoni yameshajaa, watu wamewahi nafasi.. Yamebaki makaburi ya Mburahati.. Uko radhi uzikwe hapo..? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Bujibuji said: Nikiwa hai sijaishi Masaki, nikifa nataka nikaishi huko Click to expand... Bahati mbaya hakuna makaburi Masaki Bujibuji.. Makaburi ya Kinondoni yameshajaa, watu wamewahi nafasi.. Yamebaki makaburi ya Mburahati.. Uko radhi uzikwe hapo..?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,432 May 15, 2015 Thread starter #18 sosoliso said: Bahati mbaya hakuna makaburi Masaki Bujibuji.. Makaburi ya Kinondoni yameshajaa, watu wamewahi nafasi.. Yamebaki makaburi ya Mburahati.. Uko radhi uzikwe hapo..? Click to expand... Ntafosi kingi hadi wakome. Halafu Masaki hakuna misikiti wala makanisa
sosoliso said: Bahati mbaya hakuna makaburi Masaki Bujibuji.. Makaburi ya Kinondoni yameshajaa, watu wamewahi nafasi.. Yamebaki makaburi ya Mburahati.. Uko radhi uzikwe hapo..? Click to expand... Ntafosi kingi hadi wakome. Halafu Masaki hakuna misikiti wala makanisa
MatikaC JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 1,190 Reaction score 479 May 15, 2015 #19 at least mwenzenu kafunga mkanda, jiulize ni wangapi Tanzania wanafunga mikanda? :thinking:
Bailly5 JF-Expert Member Joined Mar 11, 2015 Posts 16,495 Reaction score 35,288 May 15, 2015 #20 jamaa amekaza sasa