Nifanyeje Ili Nimsahau


Mmh mbona umemkandia sana...mnaugomvi kwani??
 

easy mbona... akija mkaka mwengine mkubalie chap then pata mimba mbona utamsahau tu hadi kujifungua kichwa kitakuwa kina mengi kuhusu kijacho
 
Shosti Hayo maneno mpaka yakae sawa nimefanya kazi ya ziada, kuhusu X mpenzi wako , ivi mtu amekupiga Kama hakujui anakusemaaa vibaya sijui yote Hayo haiwi sababu ya kumsahau ? Ebu niambie kile khasaa unacho mpendea nini? Michezo Yake , size Yake , macho Yake midomo au zile ngumi anazo kutwanga nikipi?
 
Mbona ume jishushaa sanaaaaa hapo ndipo ulipo haribu nakumia juu? Ndiomana kakushibaa unamjazia chooo bureeee
 

Kiswahili hiki kimechañgia kuachwa,..
 


Polee sana. Yule mtanashati anaeogopa kutongoza ndo amekusababishia kipigo??
 
mwanaume makini kamwe hawezi kuwa na mwanamke m..puuzi kama wewe...
nimeyagundua Hayo kupitia mwandiko wako....
ptuuuuuuuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…