Heshima kwenu wakuu,
Aisee hii hali mbaya ya kiuchumi imenifanya nifungue kaduka kangu mtaani, sasa TIN nimeshapata nilikuwa na leseni nikaenda TRA wakanibadilishia ikawa ya BUSINESS.
Sasa wakuu mwenye ufahamu je leseni ya biashara naipata wapi na je ni requirements gani natakiwa niwe nazo ili niipate leseni na inapatikana wapi wakuu mimi naishi Tabata Segerea.
HAPA KAZI TU