Nidhamu ya Uongozi

Lt. Canal

New Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Nimejaribu kuchunguza juu ya tawala mbali mbali hasa kwny nchi yetu ya Tanzania, nikagundua kuwa dhana nzima ya NIDHAMU ya utumishi hasa kwenye utumishi wa umma IMEPOTOSHWA na badala yake imeletwa dhana mpya ya KUJALI MASLAHI BINAFSI KWANZA.
Unadhani chanzo chaweza kuwa ni nini na tunawezaje kusolve hili tatizo?
 
Wazo lako ni zuri. Hata hivyo, ungeanzisha majadiliano kidogo (hisia zako)kwa kuelezea kidogo nini kifanyike badala ya kuacha mada kavu kama swali la mtihani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…