Kwahiyo hawajafungia line kumbe?Voda wameniambia nikajisajili watanipa bando la gb moja hapo sawa, kesho nitaenda
Kama ulijiandikisha sawa hiyo inaeleweka, lakini hukujiandikisha halafu utake kuitumia kusajili line?
Sitaki hata kujua naona mi sms yao tuKwahiyo hawajafungia line kumbe?
Mtu mwenye majukumu huwezi ukachukulia suala la mawasiliano kirahisi hivyo, nahisi wewe ni tegemezi wa mtu.Sitaki hata kujua naona mi sms yao tu
Voda wameniambia nikajisajili watanipa bando la gb moja hapo sawa, kesho nitaenda
Nchi ya hovyo hii
Mimi nahoji Kwani tunawahi wapi na huu usajili wa Fingerprint ??
Yani ni hovyo hovyo
Sasa ona kama hapo watu wanapewa Namba pengine Hata form hajajaza