Ni ujinga kutumia hela zote sikukuu alafu kulialia mwezi wa Januari

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,515
Habari za sikukuu,

Nimeona niwachane wale malimbukeni wa kutumia hela zote msimu huu wa sikukuu alafu ifikapo mwezi Januari wanaanza kulialia na kusema mwezi Januari ni mgumu.

Hii tabia ya kuishi maisha ya mazoea ya kutumia hela ovyo siku za sikukuu muachee..tumieni kwa hela kwa pozi.

Acheni kulialia..hamjui kujiwekea akiba mnatumia tu hela siku za sikukuu alafu mnalialia baadae.

Nimerusha jiwe gizani...nasubiri atakayelia uwiii..najua limempata...
 
Watu wamejipanga Mkuu... hata hivyo shukurani kwa kutukumbusha
 
Hivi hizo hela wanatumia kwenye nini hasa hadi zinaisha zote?
 
Pesa iko wapi wewe...watu wako hoi....magufuri ameshawanyoosha vya kutosha wamebaki na kihoro! labda nyie wastaafu au mlouza faru john.
 
Kwani hizi sikukuu zilikuwepo kabla hata hujazaliwa na Maisha siku zote yanaenda
 
Maneno ya mkosaji.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…