Ni nini hiki?.

Mpwidu

Senior Member
Joined
Apr 3, 2018
Posts
111
Reaction score
117
Naomba kufahamishwa anaejua hawa watu wanakuja inbox whatsap na kukuomba usave namba zao kwa kutazama status na mengneyo, leo nimetumiwa ujumbe na watu wawili tofauti ni wapi wamepata namba zangu na ni nini plan zao??
 
Hao wahuni wazee wa biashara za kitapeli za forever living, Global alliance n.k
Watakusumbua Sana, ikibidi futa tu namba zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…