Wewe na huyo maza wako, wote ni wale wale tu. Mnalipa wafanyakazi mishahara mbuzi, halafu mnataka good perfomance!
Halafu kuhusu kujiajiri; mbona hao ndugu zako unaowapigia chapuo hapa, hawajiajiri? Miaka nenda mnajificha kwenye kichaka chenu kinachoitwa ccm!!