Majina kwa asilimia za nini...?.baadhi ya vyuo wameachia fomu za ujauzito au...as a great thinker try to be more competent when you present facts in a mass
Majina kwa asilimia za nini...?.baadhi ya vyuo wameachia fomu za ujauzito au...as a great thinker try to be more competent when you present facts in a mass
unaonyesha ni jins gan ulivyo narrow thinker hujui maana ya tetesi...!!!!
Mpo wengi humu jf mnaovamia ku-commet thread without thinking jipange kwanza usikurupukekurupuke !!!!!
Wewe kama msomi unakubalije kuchukua tetesi za mtaa unatuletea humu, ungeingia ktk website ya heslb upate uhakika kwanza, tetesi zako za mtaani zipeleke fb ningekua na uwezo watu wanaoleta habari za uongo ningewafungia account zao.
Jaman naomba kuuliza majina ya second batch tayari yameshatoka au bado NA VIP KUHUSU WALE walio appeal kwa ajili ya secon year yani wakiwa first year walikosa
sio madongo tunaelezana ukweli na kwanini mtu unang'ang'ania kitu ambacho unajua kabisa kwamba hukiwezi? Na wewe kosea hata kiswahili halafu uone kama tutakuacha....mpuuzi