Ni kweli Watekaji hawajulikani?

Mdude na Soka hawajulikani waliko. Mzee Kibao kutekwa mchana kweupe, sijui mwelekeo wa nchi kwenye usalama wa raia ni upi. Tuhuma nzito za ufisadi kila kona, maisha ya watanzania ni magumu. Kwa kipindi kifupi taifa linakosa mwelekeo.
 
Inasikitisha Sana.

M.A.P Sumu ya Nyigu 7x70.
 
hautakuwa sahihi kama unaushahidi nenda katoe taarifa polisi siyo kuropokaropoka tu hovyo hujitambui wewe kijana wa hovyo sana hufai katika jamii ya wastaarabu
Naona Roho yako ina Amani sasa baada ya kutimiza lengo lenu na la 29october..
Haya yote ili mtawale milele??
Siku yajaa na yote yatawarudia ninyi na familia zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…