So JK alikuwa analipwa 9M maana Katiba hairuhusu kupunguza hata kama yeye angetaka.Masharti ya kazi ya Rais Sheria ya 1984 Na.15 ib.9 43.-
(1) Rais atalipwa mshahara na malipo meingineyo, na atakapostaafu atapokea malipo ya uzeeni, kiinua mgongo au posho, kadri itakavyoamuliwa na Bunge, na mshahara, malipo hayo mengineyo, malipo ya uzeeni na kiinua mgongo hicho, vyote vitatokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vitatolewa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii. (2) Mshahara na malipo mengineyo yote ya Rais havitapunguzwa wakati Rais atakapokuwa bado ameshika madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii
Sasa hicho nacho ni kichekesho maana mbona marupurupu ni makubwa kuliko Mshahara wenyewe.Mshahara milioni 9 marupurupu milioni 500 kwa mwezi
Sentensi yako ina ukakasi kwamba kuanzia Kina Mwinyi Mkapa, JPM na Huyu wa sasa huwa wanalipwa 108M yaani hazipandi ? au unamaanisha JPM na wa sasa ndio wanavuta hio ?Rais yoyote analipwa 108M kwa mwezi
Anaefuata ni Gavana wa Benki kuu kwa mwezi ni 78M
Ndio maana nikasema ile statement ilikuwa na walakini sababu JK it was reported kabla kwamba alikuwa anakula mara tatu ya hizo...So JK alikuwa analipwa 9M maana Katiba hairuhusu kupunguza hata kama yeye angetaka.
Haiwezi kuwa figure kubwa hivi huku watumishi wengine wakiwa chini...Mshahara utakuwa huo huo 9M ila marupurupu ndiyo yatakuwa mengi. Mshahara wa mbunge ni 4M chini ya ule wa wanataaluma lakini marupurupu Yao yanafikisha kabla ya kuongeza posho 11.9MSentensi yako ina ukakasi kwamba kuanzia Kina Mwinyi Mkapa, JPM na Huyu wa sasa huwa wanalipwa 108M yaani hazipandi ? au unamaanisha JPM na wa sasa ndio wanavuta hio ?
Watawala wengi wanapitia kwenye hio loophole mishahara midogo lakini marupurupu ni balaa na uzuri marupurupu hayana makato yoyote (in case ya watawala wengine i.e. Wabunge)Sasa hicho nacho ni kichekesho maana mbona marupurupu ni makubwa kuliko Mshahara wenyewe.
Yani hapo kitaalamu ni sawa na Siku yako ya Birthday uvae Suti/Shela alafu siku yako ya Harusi uvae kaptula na Singlendi.
Unamdai kwaniKama mlipa Kodi ni vema kuangalia watumishi wetu tunawalipa kiasi gani hususan sasa hivi ugumu wa maisha umepanda huenda ni wakati wa kufunga mkanda... Ukizingatia Rais anapewa kila kitu (magari, nyumba n.k.)
Sasa katika pita pita zangu nikaona hii....
Magufuli, who was elected president in 2015 on a pledge to tackle corruption, made the disclosure during a speech broadcast live on state television on Tuesday.
“My salary is nine million (Tanzanian Shillings). I have not increased my salary and I will not increase it. Because my obligation is to serve Tanzanians first.
Ingawa hili likanitia shaka kwmba mshahara wa Rais ulishuka lini Sababu.
Magufuli’s salary is a third of what former president Jakaya Kikwete was reported to be earning during his ten-year tenure as leader of East Africa’s most populous country.
Sasa kama hapo juu JPM alisema kwamba hajaongeza mshahara wake na hataongeza inamaanisha anaweza kujiongezea... Ndio hapo najiuliza; Huyu wa Sasa tunamlipa ngapi ?
Sentensi yako ina ukakasi kwamba kuanzia Kina Mwinyi Mkapa, JPM na Huyu wa sasa huwa wanalipwa 108M yaani hazipandi ? au unamaanisha JPM na wa sasa ndio wanavuta hio ?
Haiwezi kuwa figure kubwa hivi huku watumishi wengine wakiwa chini...Mshahara utakuwa huo huo 9M ila marupurupu ndiyo yatakuwa mengi. Mshahara wa mbunge ni 4M chini ya ule wa wanataaluma lakini marupurupu Yao yanafikisha kabla ya kuongeza posho 11.9M
Muuza Kuku wa kizungu ni pesa yake na nguvu zake hawa ni sisi ndio tunawalipa hata kama ingekuwa hio kwangu mimi mlipa Kodi bado ni nyingi sana (ukizingatia hapo kuna marupurupu na hatumii hata senti yake moja kufanya chochote) yaani hizo ni kama petty cashMillion 9 hata mfanya biashara wa kuku wa kizungu mitaani anaipata eti MAGU mshahara wake ndio huo pumbavu sana
By the way wewe binafsi unaona ni sawa au kuna ulazima wa Rais kuwa Highest Earner kwenye Nchi ?Hakuna mnachojua Nyie waafrika
Ikiwa MKURUGENZI MKUU wa NIMR , NSSF, NHIF mishahara yao not less than 20M
Na kuna taasisi CEO wao ni 35M on monthly
Unaamini RAIS analipwa 9 M
That was JPM politics
Mlisema JPM alikuwa anavunja katiba kwahiyo hata hilo la mshahara wake alivunja katiba akajipunguzia mshahara.So JK alikuwa analipwa 9M maana Katiba hairuhusu kupunguza hata kama yeye angetaka.
Jifunze kuandika ili ueleweke.Jaribu kuandika tena ili wasomaji waelewe ujumbe unaojaribu kufikisha.Mil 9 angewezaje kugawa njiani kirahisi vile ?