Ni huko wilayani Namtumbo.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Kijana Joseph Mapunda amegundulika kuwa anaishi ki-ndoa na mama yake mzazi kwa muda wa miaka 10 sasa.

Mama yake alipohojiwa amethibitisha kwamba ni kweli na kwamba anampenda sana 'mumewe' huyo.

SOURCE:ABOOD FM
 
Hii sasa ni safari ya kuelekea mbinguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…