Hivi kwani ni Hiari kujiunga au Lazima?
Maana mie naona mfumo huu bado haujawa rafiki kwa Tanzania.
Ukienda na Pesa unaheshimika,na Kadi unaonekana kama kabwela tu umechoka.
Wakati wenzetu Ulaya,mwenye Kadi akifika sehem anaheshimika balaa,na mwenye pesa ndio anaonekana wa kawaida saana na yupo nje ya wakati
Mie bado sana,kwanza naona nikijiunga nitakuwa kila siku homa haziishi,maana niliwahi kuwa na Kit ile ya first Aid,basi kila siku nikiziona nasikia home,basi nilipoacha tu kuweka homa sipati teeena.