FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Je, kuna haja ya kuagiza nguzo kutoka south Africa au kuharibu misitu wakati cement tunayo, kokoto tunazo na mchanga tunao?
=================================
Nguzo hizi zinauwezo wa kudumu kwa muda wa hadi miaka 300 bila kuoza wala kuliwa na mchwa, na ni very light weight kwa sababu ni hollow na technology imekuwa sana ya kuzifanya nyepesi kama mabua ila ngumu kama steel
================================
Update: 05/07/2021
Hongereni DERM ELECTRICS, naona mnakula vinono kiulaini kabisa
===============================
Update: 06/07/2021
Tanesco hawajui kutumia pima maji na biriji, asilimia kubwa ya nguzo wanazosimika zinakuwa zimelala (inclined) na kuharibu kabisa unadhifu wa kazi
=================================
Nguzo hizi zinauwezo wa kudumu kwa muda wa hadi miaka 300 bila kuoza wala kuliwa na mchwa, na ni very light weight kwa sababu ni hollow na technology imekuwa sana ya kuzifanya nyepesi kama mabua ila ngumu kama steel
================================
Update: 05/07/2021
Hongereni DERM ELECTRICS, naona mnakula vinono kiulaini kabisa
===============================
Update: 06/07/2021
Tanesco hawajui kutumia pima maji na biriji, asilimia kubwa ya nguzo wanazosimika zinakuwa zimelala (inclined) na kuharibu kabisa unadhifu wa kazi