Poulsen aja amtezame boban alafu wakashauriana na kayuni kama anafaa au hafaai,kayuni anaiharibu tff na kumuweka poulsen pabaya kwa chuki zake zisizo na lazima ana wivu kama mtt wa kike
Poulsen aja amtezame boban alafu wakashauriana na kayuni kama anafaa au hafaai,kayuni anaiharibu tff na kumuweka poulsen pabaya kwa chuki zake zisizo na lazima ana wivu kama mtt wa kike
Lakini kuna thread hapa JF inasema Yanga wamechomoa hawatapeleka timu baada ya TFF kushindwa kuwalipa pesa za ligi iliyopita zaidi ya mil 18 au wanatuzunga tu.......
kwani poulsen ana kiwango cha kuifundisha timu ya taifa?Naona angepewa kuifundisha MILAMBO Tabora angalau ingemfaa.Akawafundishe hata butua-butua kiubishibishi