Ndugu zangu wa saut,ruco etc!wanaofungua vyuo before october subira ya bwana iwe juu yenu,toka mwanzo nasema hawa tcu wana utani na ndoto za watu,mwanzo walinipiga mi "not eligible" wakati nina sifa,nikaenda badili kozi nlokua naipenda,at the end of the day niko adimited kwenye kozi nisiyo ipenda!sasa kwa mwendo huu naona kuna watu watashindwa kujiregister saut hadi deadline kisa mkopo na ushenzi wa tcu,POLENI