walimu waliotunga hizo pepa wapo hukosasa sijui kwanini wanaacha kuweka kwente web yao wanaweka kwenye web ya chuo?
kweli mkuu kuna watu watashindwa kurudi kwao mtu amekuja dar tarehe 4 till today hajafanya oral this is so unfairata matokeo wakitoa leo, kwa style hii ya kutosema lini oral ni kazi bure. kuna watu wanakaa mjini kwa kuunga unga sana, hapa ndio kilio changu kilipo.
Matokeo ya legal officers angalia kwenye website ya TPDC yametoka leoHaahaahaa!! Tanzania kuna vituko vingi kweli na, je, matokeo ya Senior Legal Officer na Legal Officer II yanapatikana wapi,
Wameweka ya tarehe 09?? Nimeona ya tarehe 08.
Matokeo ya legal officers angalia kwenye website ya TPDC yametoka leo
TPDC wameongeza results za watu waliofanya interview plse click here...http://www.tpdc-tz.com/combined.pdf
Successful record management assistant, Legal officers, security officers...plse check nw
Mkuu, Cargo, nashukuru kwa taarifa na nimeshaona matokeo.
Baraka nyingi zibaki kwako.
Jaman TPDC walichokifanya wame-outsource watu kwa ajili ya interview....eg.. accountant walitumia NBAA, procurement & stores officer-PSPTB, engineering-COET so tuwe tunajaribu kupitia website zao pia kama hujayapata matokeo yako.....ila naamin watu waliofanya trh 8/9 matokeo yatatoka leo...
Good morning samaika.
Matokeo ya tarehe 09 & 10 April bado hayajawekwa. Ebu tuone kama leo mtawekewa.
Cool sana sergeant.
Boss vipi upo au haikua bahati yako?
Mkuu, Secret
Service, Mwenyezi Mungu ninayemwabudu mimi ananipenda na
kunidhihirishia wema wake kila siku, kama anavyowapenda na kudhihirishia
wema wake kwa wengine, kwahiyo, uniombee nifanikiwe kwenye hatua ya
mwisho ili nipate nafasi ya kulitumikia shirika na nchi yangu.
Ubarikiwe kwa kuuliza
nimepita kwenda oral ila nimeamua kurudi kwetu tabora. sina ndugu naishi gest leo siku ya kumi na sijui hiyo oral ni lini, basi tena sina uwezo wa kuendelea kukaa mjini