Jaman TPDC walichokifanya wame-outsource watu kwa ajili ya interview....eg.. accountant walitumia NBAA, procurement & stores officer-PSPTB, engineering-COET so tuwe tunajaribu kupitia website zao pia kama hujayapata matokeo yako.....ila naamin watu waliofanya trh 8/9 matokeo yatatoka leo...