UHURU KABANGA
Member
- Jan 1, 2021
- 5
- 15
Mkuu mbona macho yako kama yanatufokea Sasa..Ulevi wa pombe sigara bangi na kilevi chaaina yoyote pia umalaya kuwa nawanawake wengi wew kama kijana pia ujinga nichanzo cha umasikini MAISHA NILAZIMA UPAMBANE TUNZA KIDOGO ULICHONACHO KIWEKEZE KITAKULETEA FAIDA BAADAE VIJANA WA SIKU HIZ NIWAZEMBE KUFIKILI NA KUCHANGAMKIA FURSA vijana tunaangamia kwakukosa maalifa
Ulevi wa pombe sigara bangi na kilevi chaaina yoyote pia umalaya kuwa nawanawake wengi wew kama kijana pia ujinga nichanzo cha umasikini MAISHA NILAZIMA UPAMBANE TUNZA KIDOGO ULICHONACHO KIWEKEZE KITAKULETEA FAIDA BAADAE VIJANA WA SIKU HIZ NIWAZEMBE KUFIKILI NA KUCHANGAMKIA FURSA vijana tunaangamia kwakukosa maalifa
Kwenye uzi wako hakuna mkato, hakuna nukta, hakuna kiulizo, hakuna mshangao, hakuna mabano wala chochote.
Daahh, inahitaji pumzi kweli kweli mtu kuusoma uzi wako wote.
KILA LA HERI na KARIBU JamiiForums.
Kwa vile kajileta JF, soon atakuwa nguli... Vuta subira!Alifeli nsha huyu.
Ulevi wa pombe sigara bangi na kilevi chaaina yoyote pia umalaya kuwa nawanawake wengi wew kama kijana pia ujinga nichanzo cha umasikini MAISHA NILAZIMA UPAMBANE TUNZA KIDOGO ULICHONACHO KIWEKEZE KITAKULETEA FAIDA BAADAE VIJANA WA SIKU HIZ NIWAZEMBE KUFIKILI NA KUCHANGAMKIA FURSA vijana tunaangamia kwakukosa maalifa
Mkuu mbona macho yako kama yanatufokea Sasa..
Anyway karibuu sana...
Karibu mkuu, ila jitahidi kuandika vizuri dah.Ulevi wa pombe sigara bangi na kilevi chaaina yoyote pia umalaya kuwa nawanawake wengi wew kama kijana pia ujinga nichanzo cha umasikini MAISHA NILAZIMA UPAMBANE TUNZA KIDOGO ULICHONACHO KIWEKEZE KITAKULETEA FAIDA BAADAE VIJANA WA SIKU HIZ NIWAZEMBE KUFIKILI NA KUCHANGAMKIA FURSA vijana tunaangamia kwakukosa maalifa