UHURU KABANGA
Member
- Jan 1, 2021
- 5
- 15
Ulevi wa pombe sigara bangi na kilevi chaaina yoyote pia umalaya kuwa nawanawake wengi wew kama kijana pia ujinga nichanzo cha umasikini maisha nilazima upambane tunza kidogo ulichonacho kiwekeze kitakuletea faida baadae vijana wa siku hiz niwazembe kufikili na kuchangamkia fursa vijana tunaangamia kwakukosa maalifa