Tupo pamoja mkuu.Imebidi niangalie avatar yako kwanza.
Namuona sir Albert Einstein whom i believe is one of the greatest scientists ever lived.
Umemtendea haki,asante kwa maelezo mazuri sana!!!i appreciate sana,sana mchango wako
Unaniangusha sasa!Ni wapi huko???
Asante tenaLakini hata ukitumia tafsiri ya kawaida unakua upo sawa.
Hauwezi kuwa na ndoto za kuwa Padre alafu mentor wako awe mtu aliyefukuzwa upadre.
Naomba ukishasoma mada pitia na comment ya member amechangia anaitwa "Pipi mti" itakusaidia zaidi.Mleta mada, ungetumia tu lugha ya Taifa huwenda ungeeleweka vizuri na wale tunao toka njee ya mada.
Kama we ni mzungu sawa.
Nawewe pia mkuu.Barikiwa mkuu pia pipi mti Barikiwa pia
diamond ni naseeb AbdulPlease, please, please!
Never share your dreams with the losers, Why?"They will always give you 99 reasons why your dreams won't come true, but you only have a single reason to prove them wrong"And if you want to learn anything consult an expert.
Kwa mfano;
Golf------Golf pro
Football---qualified coach
As a matter of fact huwezi omba ushauri wa kujiajiri kwa mtu aliyeajiriwa.
In essence, the world of entreprenuership needs us to be like diamond. And diamond is the hardest substance known and to cut a diamond you need a diamond.
Nimalizie kwa kusema; diamond will never stop being a diamond and become a regular rock because few cant afford it, it remains a treasure become a diamond, become a person of value and that is the profound meaning of success.
Muwe na wakati mzuri, until then
Good neighbour
Sio wazembe lakini ufanye nawatu makiniili ufanikiwe inabidi ufanye kazi na team(kushirikiana) huwezi kufanikiwa kwa kufanya kila jambo peke yako.
Ulpo sahihi kabisa mkuu. Kuna mtu namfahamu aliondoka akaenda majuu baada ya form 6 .kafika huko akaanza kuuza unga/kufanya dili chafu .kakaa huko over 6 years.karudishwa nw yupo hata kodi analipiwa na ndugu.anadharau kila idea.. fikiria mtu haamini hata hii mitandaoPlease, please, please!
Never share your dreams with the losers, Why?"They will always give you 99 reasons why your dreams won't come true, but you only have a single reason to prove them wrong"And if you want to learn anything consult an expert.
Kwa mfano;
Golf------Golf pro
Football---qualified coach
As a matter of fact huwezi omba ushauri wa kujiajiri kwa mtu aliyeajiriwa.
In essence, the world of entreprenuership needs us to be like diamond. And diamond is the hardest substance known and to cut a diamond you need a diamond.
Nimalizie kwa kusema; diamond will never stop being a diamond and become a regular rock because few cant afford it, it remains a treasure become a diamond, become a person of value and that is the profound meaning of success.
Muwe na wakati mzuri, until then
Good neighbour
AminaBarikiwa mkuu pia pipi mti Barikiwa pia
Asante sanaMi nimekusoma
Iko shida hapoUlpo sahihi kabisa mkuu. Kuna mtu namfahamu aliondoka akaenda majuu baada ya form 6 .kafika huko akaanza kuuza unga/kufanya dili chafu .kakaa huko over 6 years.karudishwa nw yupo hata kodi analipiwa na ndugu.anadharau kila idea.. fikiria mtu haamini hata hii mitandao
Please, please, please!
Never share your dreams with the losers, Why?"They will always give you 99 reasons why your dreams won't come true, but you only have a single reason to prove them wrong"And if you want to learn anything consult an expert.
Kwa mfano;
Golf------Golf pro
Football---qualified coach
As a matter of fact huwezi omba ushauri wa kujiajiri kwa mtu aliyeajiriwa.
In essence, the world of entreprenuership needs us to be like diamond. And diamond is the hardest substance known and to cut a diamond you need a diamond.
Nimalizie kwa kusema; diamond will never stop being a diamond and become a regular rock because few cant afford it, it remains a treasure become a diamond, become a person of value and that is the profound meaning of success.
Muwe na wakati mzuri, until then
Good neighbour
Hao ndio Loosers sasaUko sahihi, i remember nilishawashirikisha ndugu zangu na close friends some ideas...waliniona kama nimechanganyikiwa, wakaanza kujadili jinsi nitakavyoshindwa....sasa hivi nawashangaa majority wameanza kufanya kitu kilekile nilichokuwa nawaambia
BORA MTU UKAJISHIRIKISHA WEWE NA NAFSI YAKO PEKE YAKO, hata uki fail unajitadhmini wewe mwenyewe
Jaribu kufikiria mtu haiamini radio, magazeti wala mitandao ya kijamii karne hii.. anadharau hata watu waliosoma kwamba shule ni makaratasi tu. Akiongea anabwabwaja kama mwehu na kujump kwenye conclusion... jamaa anashida sanaIko shida hapo
Mkuu soma vizuri, bado hujaelewa mtoa madaHahaha Watu kama nyie ndio huwa mnakufa na ndoto zenu, unadhani uki share watakuibia idea kumbe ujinga. Huwezi kufanikiwa kwa kuficha wazo, liweke wazi lifanyiwe kazi nawe ujifunze faida na changamoto zake, usiwanyime watu ajira kwa kudhani utajipunguzia kipato, wape kazi ili upate muda kukuza kazi au biashara yako.
Hata Bakhresa na Mengi wanafanyiwa kazi, basi wewe jifungie ndani kisha jifiche uvunguni na mandoto yako uone yatakavyo kuletea maluweluwe huko uvunguni mwako.
You won't succed by being selfish. Be an open minded and easy going.
Umeeleweka vizuri mkuuJaribu kufikiria mtu haiamini radio, magazeti wala mitandao ya kijamii karne hii.. anadharau hata watu waliosoma kwamba shule ni makaratasi tu. Akiongea anabwabwaja kama mwehu na kujump kwenye conclusion... jamaa anashida sana