Nitamu pia nichungu, ususa uchungu hule alipitia Yesu kwaajir ya dhambi zetu (Ubinafsi na kujiinua) .Yesu alituliza hivi "mwaweza nywea kikombe hiki" Petro akajibu ndio twaweza, na kweli Mitume wote walikinywea, mbna sisi tumeonekana kuwa mbali na hicho kikombe na ndio kipimo thabiti cha kumjua Mungu ana kwenda Peponi.