Nec

Joined
Nov 21, 2014
Posts
23
Reaction score
1
Wakuu naomba kuuliza nec ilisema awamu amu hii matokeo uwanza kutangazwa kwenye vituo ikiwa ni sambamba na kubandika mtokeo ya pande zote tatu sasa swali langu wanasema tukiisha piga kura turudi nyumbani je? Msimamizi atamtangazia nani wakati wote tupo nyumbani? Au kuna utaratibu wa kutangaza kwenye media.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…