Ndoto inayonisikitisha, msaada please!

hakuna chochote hapo mkuu we ipotezee ila usiisahau mapema ili kama utaota tena kama hiyo au inayoendana na hiyo.
pia mwombe Mungu ili ikiwa kuna baya lolote akuepushe nalo.

Tawile kamanda, nitalifanya hilo
 

Ushauri mzuri, ufanyie kazi mleta uzi.
 
ukilala unekunja miguu lazima ndoto iwe ya kutisha. jitahidi kutokukunja miguu wakati unapoenda kulala.

Haha ha ha haaaaa!!! Ngano hizi bwana! Eti ukiota ya kutisha unashindwa kujinasua mathalan kukimbia?
 
Pole sna Ndugu jarbu kukemea kwa sababu anachokiota mtu syo kiti cha uongo kumbuka nafsi yako ndo inayofanya hicho kitendo katka ulimwengu wa roho
 
Usisumbuke hakuna anayejua tafsiri yake ila Mungu mweza wa yote na usitake kujua tafsiri yake maana itakupa kuweweseka cha msingi vunja kabsaa kwa jina la Yesu hyo ndoto na haitarudiiiii tenaaaaaaa!
 
Ukiota ndoto unafukuzwa na wanyama kama simba, ng'ombe, nyoka, mamba nk na wakati wanakukimbiza ukawazidi mbio na kuwaacha mbali bila kukufikia au ukapigana nao na ukawashinda; maana yake ni kuwa katika ulimwengu wa roho wabaya wako walifanya jaribio na walituma silaya zao kukuangakamiza, lakini walishindwa kwani kiimani upo imara.

Ukiota ndoto unafukuzwa na wanyama na wakakupata kwa kukung'ata au nyoka akakung'ata na kuingia mwilini mwako;maana yake ni kuwa wabaya wako wametuma silaya zao za kichawi na wamekupata. Kinachofuata ni aina gani ya manuizo yaliyopewa hayo majini lakini ukweli ni kuwa lipo jambo baya tayari limeshafanyika katika ulimwengu wa roho litatimia na kudhihirika katika ulimwengu wa mwili saa, siku na mahali kama yalivyoagizwa yakumalize.
 
Miezi michache baada ya ndoto ile ajira yangu iligoma, nikasota miezi kibao tu, kwa sasa niko job tena, ni kweli uliyosema.
 

Bora umesema ukwel kuliko ungemfariji kwa uongo.

Ana uwezo wa kubatilisha alichoota pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…