Amina Mama Mdogo,na Wewe Mbona Hujalala Kulikoni?
Nimeamka mapema najitayarisha kusafiri kwenda Mbeya toka Nkasi. Hapa Nkasi bus laondoka saa 11:30 asubuhi, hivyo nimedamka mapema ili kuwahi. Mbona nawe hujalala, au umeota tena ndoto mbaya?? Ubarikiwe!!!
Nimeamka mapema najitayarisha kusafiri kwenda Mbeya toka Nkasi. Hapa Nkasi bus laondoka saa 11:30 asubuhi, hivyo nimedamka mapema ili kuwahi. Mbona nawe hujalala, au umeota tena ndoto mbaya?? Ubarikiwe!!!
Poa Mkuu,tena Cha Ajabu Huyo Member Niliyeota Eti Kawa Wife Yumo Humu active Kabisa,sema Si Vizuri Kuweka ID Yake Ukizingatia Hiyo Ni Ndoto Tu.
Wakuu Nimeota Ndoto Ndefu Sana Ambayo Kwa Asilimia 90 Ilikuwa Ya Kutisha,mimi Ni Mmoja Kati Ya Wengi Au Wachache Ambao Wanaamini Kuwa Wanawake Wa Mitandaoni Hawafai Kuolewa,na Kwa Hiyo Sijawahi Hata Siku Moja Ku Date Au Kufikiria Ku Date Nao,sasa Usiku Huu Wa Manane Ndoto Ya Ajabu Ikanivaa,nimeota Nimefunga Pingu Za Maisha Na Member Wa Humu Mwenye ID Ya Xy,eti Xy Alinizimikia Sana Na Akawa Tayari Nimuoe Pamoja Na Ufukara Wangu,nimeishi Naye Kwa Shida Hadi Tukafanikiwa Kujenga Nyumba Na Kumiliki Mali Kadhaa,mara Xy Akaanza Kubadilika Ghafla Akawa Anataka Tuachane Na Tugawane Mali,nikamsihi Sana Kumbe Alikuwa Na Hawara Nje Ya Ndoa,sasa Mara Nimemfumania Akiwa Anagegedwa,mgoni Wangu Katoa Bastola Na Kunitandika Risasi Kifuani,nimepiga Kelele Nakufaaa Nikajikuta Naamka Nikiwa Naweweseka Na Jasho Jingi Linanitoka Na Mapigo Ya Moyo Kwenda Mbio,what A Stupid Dream Is That??? Imenikera Sana Hii Ndoto Ya Kijinga Kabisa.
yaani hadi tunagegedana as my real wife,we acha tu.
Wakuu Nimeota Ndoto Ndefu Sana Ambayo Kwa Asilimia 90 Ilikuwa Ya Kutisha,mimi Ni Mmoja Kati Ya Wengi Au Wachache Ambao Wanaamini Kuwa Wanawake Wa Mitandaoni Hawafai Kuolewa,na Kwa Hiyo Sijawahi Hata Siku Moja Ku Date Au Kufikiria Ku Date Nao,sasa Usiku Huu Wa Manane Ndoto Ya Ajabu Ikanivaa,nimeota Nimefunga Pingu Za Maisha Na Member Wa Humu Mwenye ID Ya Xy,eti Xy Alinizimikia Sana Na Akawa Tayari Nimuoe Pamoja Na Ufukara Wangu,nimeishi Naye Kwa Shida Hadi Tukafanikiwa Kujenga Nyumba Na Kumiliki Mali Kadhaa,mara Xy Akaanza Kubadilika Ghafla Akawa Anataka Tuachane Na Tugawane Mali,nikamsihi Sana Kumbe Alikuwa Na Hawara Nje Ya Ndoa,sasa Mara Nimemfumania Akiwa Anagegedwa,mgoni Wangu Katoa Bastola Na Kunitandika Risasi Kifuani,nimepiga Kelele Nakufaaa Nikajikuta Naamka Nikiwa Naweweseka Na Jasho Jingi Linanitoka Na Mapigo Ya Moyo Kwenda Mbio,what A Stupid Dream Is That??? Imenikera Sana Hii Ndoto Ya Kijinga Kabisa.