ni wengi mno wamefanya hivi
usione watu na pesa zao, mie hushukuru kwa nilivyo lol
Makubwa haya, sasa unaenda kuolewa na taila akikuchinja usiku?
Wanavituo vyao hawa wampeleke huko kama wamechoka kumtunza hawa wazazi,lol!
dah.....sasa huyo mama atamuhakikishiaje mtoto wa watu atakayeolewa kuwa huyo jamaa hatamdhuru.....?
maana akili ya taahira huenda vile anavyotaka kuipeleka yeye mwenyewe...........
Mmh mbona tumeziona ndoa za mataahira, hapa namaanisha sio kichaa, kichaa ndio anaweza kukuchinja kuna wale wenye upungufu kidogo. However, victim wa hizi ndoa ni wale mabinti underpriviledge au wengine huwa matapeli akishapata pesa za kuanzia mtaji anasepa.
haya mambo yapo sana hasa kanda ya ziwa yapo mno.
Kuna baba namfahamu, mwaka 1986 alioa bi mdogo kwa masharti ya mganga kuwa atajifungua mtoto wa kiume taahira.
Mungu si Athuman, yule mama akajifungua binti mzima, huwa namwangalia yule binti ila siwezi mwambia maana hainihusu.
ni wengi mno wamefanya hivi
usione watu na pesa zao, mie hushukuru kwa nilivyo lol