Nilikuwa sielewi kwanini watu wanwahi dirishani nimekuja kugundua. Ile siti ya koridoni kuna watu hawawezi kusimama wima, atakuegemea kutoka kawe hadi mbagala rangi tatu....sasa imagine katoka kubeba zege tangu asubuhi jioni ndio mnarudi!
Nilikuwa sielewi kwanini watu wanwahi dirishani nimekuja kugundua. Ile siti ya koridoni kuna watu hawawezi kusimama wima, atakuegemea kutoka kawe hadi mbagala rangi tatu....sasa imagine katoka kubeba zege tangu asubuhi jioni ndio mnarudi!