Nchi inaendelea kupaa

Nilufer

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
9,760
Reaction score
14,005
Nchi yangu umeliwa muda mrefu na wanasiasa waliotuaminisha ni watetezi Wa wanypnge kumbe wanatumia siasa kama njia ya kuiba.

Zitto Kabwe amekuwa mwenyekiti wa PAC mda mrefu lakini eti hakuona wizi ndani ya mashirika ya umma wala hakumshirikisha swahiba wake JK kushughurika na ufisadi.

Nakubaliana na JPM kwamba yale makontena ya mchanga yalikuwa yanatangulizwa ulaya lakini ni ya watanzania ndio mana hawakusema chochote mpaka JPM alivyolivalia njuga.

Upinzani ulikuwa unalazana kusema ufisadi ili wakatiwe kidogokidogo mana JPM alivyoanza kushughulikia uozo ule waliokuwa wakiusema wamemgeuka kwani ulaji wao umezibwa.

Sasa wapinzani wamebaki ni kutukana tu bila sababu ya msingi.
Ee mungu shukrani kutuletea JPM ametufungua njia kwamba Tanzania inaenda kupaa kiuchumi mana yuko serious sana na hatakizaha na siyo mra rushwa.

Mungu atupe nini tena tumemuomba muda mrefu amesikia kilio chetu sisi walala hoi.

Go Magufuli, Mungu yu pamoja nawe acha wapige kelele watazoea hivyo Bali ya kutokuwa na mimali kibao ya kuenezea ukimwi kwa madada zetu.
 
tatizo ni uchumi hakuna watu wanajua kuendesha uchumi wa nchi. Kodi na biashara ni karaa, demokrasia imeshuka.... niendelee
 
Magufuli gooooooooooooooooo!Hakikisha hakuna jiwe litakalo baki juu ya jiwe
 
Nasikia wabunge wanalia ukata balaa!! Sasa ninajiuliza hivi zile posho za vikao na mishahara hao ya Miliono kumi na mbili hawapewi?
 
Amen Ra
 
Kweli inapaa. Ndo maana hatushangai actually tunashangilia tiss wanao operate kwa kodi zetu wanapoteka na kutesa raia
 
Miaka 4 ya JPM inakuja kuzaa Tz tishio sana kimaendeleo. Kama ni timu basi itakuwa ni ile Madrid ya akina De Lima, Figo, Makerere, Zidane, Carlos n.k. ama ile Super Eagle ya enzi za akina Amokachi, Babayaro, Kanu, Olise, Taribo, Okocha n.k. Huwa ñavimisi sana hivi vikosi.

JPM anatisha kama ndani ya mwaka mmoja tu ana orodha ya mafanikio hivi, sijuhi mpaka 2019 Tz itakuwaje. Waliotucheka zamani watalia machozi ya milele.
 
Hivi upo serious au unatania mkuu maana sikupati kabisaa! Hivi mpaka sasa kafanya nn labda Niambie achana na blaa blaa za wachezaji wa zamani wa Madrid! Mm naona anamneemesha Bashite na genge Lake la utekaji.. Maana Bashite ni zaidi ya waziri mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…