hahahahhaha hapana bana.. siku hizi sijui nitampata vipi rafiki yangu skip bayless zaidi ya twitter maana huko fox alikohamia michosho tu. Huku SAS yupo na hiki kijamaa kinajaribu kuwa Skip lakini hakitoweza. Yaani First Take inapwaya kweli
hahahahhaha hapana bana.. siku hizi sijui nitampata vipi rafiki yangu skip bayless zaidi ya twitter maana huko fox alikohamia michosho tu. Huku SAS yupo na hiki kijamaa kinajaribu kuwa Skip lakini hakitoweza. Yaani First Take inapwaya kweli