Kama unamtaji nenda ghanghzou mwenyewe kutembea kule kuna waafrica unamlipa dola mia anaakuonesha masapplier wa kutosha.bongo kubaniana na kukulanaa cha juu wanaaokuita wanakulengesha kwa washjaji zao wakule percent utachelewa shaati la dola 3 utaanunua 5 .ukienda kule utagundua mwenyewe na kuna watanzania kibao kazi yao kukuonesha machimbo tu