Sijalipia zaidi ya bando languBila kulipia au ebu nielekeze umepitia wapi ndugu?
wajanja tu wana re packWakuu ivi Microsoft ndio wanatengenezaga windows all in one au? Maana nimedownload windows AIO ina GB 9.something imecontain
Windows 7 zote
Windows 8 zote
Windows 10 zote
Pamoja na Microsoft office zote
Na key za kufanyia activation kwa kila windows
Sasa nilikuwa nauliza ivi Microsoft ndio inafanyaga ivi au wajanja tu mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Umedownload site gani mkuuWakuu ivi Microsoft ndio wanatengenezaga windows all in one au? Maana nimedownload windows AIO ina GB 9.something imecontain
Windows 7 zote
Windows 8 zote
Windows 10 zote
Pamoja na Microsoft office zote
Na key za kufanyia activation kwa kila windows
Sasa nilikuwa nauliza ivi Microsoft ndio inafanyaga ivi au wajanja tu mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro io ni repack ambayo watu hujiongeza nakufanya hivyo ndo maana utakuta ipo pre activated ila microsoft awawezi fanya biashara kma hiyoWakuu ivi Microsoft ndio wanatengenezaga windows all in one au? Maana nimedownload windows AIO ina GB 9.something imecontain
Windows 7 zote
Windows 8 zote
Windows 10 zote
Pamoja na Microsoft office zote
Na key za kufanyia activation kwa kila windows
Sasa nilikuwa nauliza ivi Microsoft ndio inafanyaga ivi au wajanja tu mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
asantee kaka lakini inagoma sijui kwa nn
Yawezekana haujainstall app ya kutorrent. Install utorrent au bittorrentasantee kaka lakini inagoma sijui kwa nn
naomba link mkuuYawezekana haujainstall app ya kutorrent. Install utorrent au bittorrent
nenda google tu utapata mkuunaomba link mkuu
asanteee mkuuKama unatumia simu ni rahisi kudownload kupitia uc browser kwenye website ya microsoft. Kama unatumia kompyuta sio rahisi kuona sehemu ya kudownload iso file baadala yake utaona sehemu ya kudownload tool ya ku-update au kudownload iso file, tatizo ya ile tool utatumia muda mrefu kudownload.
Kwa watumiaji wa kompyuta kama unatumia google chrome (Sijawahi kujaribu kwenye browser zingine) ingia kwenye link ya microsoft, Bonyeza Ctrl + Shift + I itakupeleka kwenye developer tools, baada ya hapo bonyeza Ctrl + Shift + M, uta-reload page upya itabadirika na kuwa kama unatumia kwenye simu baada ya hapo utaona sehemu ya kuchagua version ya windows 10 unayoitaka.
mtandaoni mkuu....Mtandaoni au wapi mkuu