Nillikuwa safari nje wiki ya uandikishaji ambapo ulikuwa muda mfupi na sikujiandikisha.lakini nina kadi ya mpiga kura je naweza piga kura kesho uchaguzi wa mtaa ?
Kwa mujibu wa sheria inayosimamia uchaguzi huu kama hujajiandikisha huwezi piga kaka mimi mwenyewe niliandikisha wapiga kura chakushangaza sijajiandikisha yaani ni shiidah. Hata wananchi waliojitokeza ni wachache sana