π€£π€£π€£π€£spare my ribs jaman.hahahahhhaahha nimeamka na cheko leoπ€£π€£π€£π€£Haaa.....we jamaa unashabikia mabeberu?
Ngoja professor majalala aone uzi huu atakavyokutolea macho km mjusi amebanwa na mlango.....
Haaa.....we jamaa unashabikia mabeberu?
Ngoja professor majalala aone uzi huu atakavyokutolea macho km mjusi amebanwa na mlango.....
'Harafu' wee jamaa ni kuadi wa wazungu.harafu anaenda hospital
So you are Disgraced? Am not and am proud of myself, Proud to be Tanzanian.Hahahhaaa Tz its a disgrace country..afu jitu linatokea sijui kona gani linasema tz nchi ya maziwa na asali sijui kituo cha utulivu
So you are Disgraced? Am not and am proud of myself, Proud to be Tanzanian.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujui wazungu uenda hujawahi kuishi nao au unawaona kwenye cinema tu sisi tulio ishi nao hamna mtu mnafiki kama mzungu with fake smiles.......Nawasifu sana wazungu wako original sana, yaani hawana chengachenga, siyo wabongo wanafiki sana tena wanafiki kupitiliza, harafu sijui tukoje yaani sisi tukotuko tu. Leo Mbongo anajifanya anaijua dini kuliko mzungu na mwarabu?
Maajabu haya tena ya karne, mbongo anawalaumu wazungu kwa kuwa wauza silaha, badala ya kulaumu wanaonunua. Mbongo nyanya imeoza badala kuitupa anaiita masalo mradi aile tu kisha anaumwa harafu anaenda hospital analipa pesa nyingi.
Mbongo analala na mbu ndani badala ya kuwaua ndo alale yeye analala nao harafu anawaua wakati wanamngata anajigeuza yeye mtego mpaka wamguse, Mbongo akisikia kiu badala ya kunywa maji anakunywa soda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu is not originalNawasifu sana wazungu wako original sana,yaani hawana chengachenga,siyo wabongo wanafiki sana tena wanafiki kupitiliza,harafu sijui tukoje yaani sisi tukotuko tu,leo mbongo anajifanya anaijua dini kuliko mzungu na mwarabu,maajabu haya tena ya karne,,mbongo anawalaumu wazungu kwa kuwa wauza silaha,badala ya kulaumu wanaonunua,mbongo nyanya imeoza badala kuitupa anaiita masalo mradi aile tu,kisha anaumwa harafu anaenda hospital analipa pesa nyingi,mbongo analala na mbu ndani ,badala ya kuwaua ndo alale yeye analala nao harafu anawaua wakati wanamngata anajigeuza yeye mtego mpaka wamguse,mbongo akisikia kiu badala ya kunywa maji anakunywa soda
Sent using Jamii Forums mobile app
True. Sijaishi na wazungu,ila niliishi na mzungu yule mama ni mama angu mkubwa lkn mhhh..... Ingawa sometimes wako very Real, pia sio wavivu kama wabongoWewe hujui wazungu uenda hujawahi kuishi nao au unawaona kwenye cinema tu sisi tulio ishi nao hamna mtu mnafiki kama mzungu with fake smiles.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kaolewe na wazungu.Nawasifu sana wazungu wako original sana, yaani hawana chengachenga, siyo wabongo wanafiki sana tena wanafiki kupitiliza, harafu sijui tukoje yaani sisi tukotuko tu. Leo Mbongo anajifanya anaijua dini kuliko mzungu na mwarabu?
Maajabu haya tena ya karne, mbongo anawalaumu wazungu kwa kuwa wauza silaha, badala ya kulaumu wanaonunua. Mbongo nyanya imeoza badala kuitupa anaiita masalo mradi aile tu kisha anaumwa harafu anaenda hospital analipa pesa nyingi.
Mbongo analala na mbu ndani badala ya kuwaua ndo alale yeye analala nao harafu anawaua wakati wanamngata anajigeuza yeye mtego mpaka wamguse, Mbongo akisikia kiu badala ya kunywa maji anakunywa soda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nawapenda tu yaaniTrue. Sijaishi na wazungu,ila niliishi na mzungu yule mama ni mama angu mkubwa lkn mhhh..... Ingawa sometimes wako very Real, pia sio wavivu kama wabongo
πππ kuishi na wale watu yataka moyo "ule uswahili wa kibongo hutakiwi kuwa nao. At least kanishape shape kiasi,baadhi ya vitabia vya kibongo sina. Sasa ikitokea mtu kaniletea naumiaga mnoMie nawapenda tu yaani