Nawapenda sana wazungu wako too original

kwenda21

JF-Expert Member
Mar 11, 2014
3,422
3,393
Nawasifu sana wazungu wako original sana, yaani hawana chengachenga, siyo wabongo wanafiki sana tena wanafiki kupitiliza, harafu sijui tukoje yaani sisi tukotuko tu. Leo Mbongo anajifanya anaijua dini kuliko mzungu na mwarabu?

Maajabu haya tena ya karne, mbongo anawalaumu wazungu kwa kuwa wauza silaha, badala ya kulaumu wanaonunua. Mbongo nyanya imeoza badala kuitupa anaiita masalo mradi aile tu kisha anaumwa harafu anaenda hospital analipa pesa nyingi.

Mbongo analala na mbu ndani badala ya kuwaua ndo alale yeye analala nao harafu anawaua wakati wanamngata anajigeuza yeye mtego mpaka wamguse, Mbongo akisikia kiu badala ya kunywa maji anakunywa soda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaa.....we jamaa unashabikia mabeberu?
Ngoja professor majalala aone uzi huu atakavyokutolea macho km mjusi amebanwa na mlango.....
🀣🀣🀣🀣spare my ribs jaman.hahahahhhaahha nimeamka na cheko leo🀣🀣🀣🀣
 
Haaa.....we jamaa unashabikia mabeberu?
Ngoja professor majalala aone uzi huu atakavyokutolea macho km mjusi amebanwa na mlango.....


🀣🀣🀣🀣nimejikuta naiangalia tena...haahha kha!πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œimebidi niisave tu for future use..asabte kunianzjshia siku njema
 
Afrika hatuna bahati.

Tanzania ndio hatuna bahati kabisa.

Tulitawaliwa na Mwingereza | 'Mswahili Swahili', Kutetana & Kufuatiliana Fuatiliana.

Then, Tukatawaliwa na Mwarabu | Mchawi na 'Mswahili'

Yaani tumekukuwa watu wa ajabu ajabu !
 
Wewe hujui wazungu uenda hujawahi kuishi nao au unawaona kwenye cinema tu sisi tulio ishi nao hamna mtu mnafiki kama mzungu with fake smiles.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzungu is not original
1.Akila masalu ataumwa afe, wabongo sijawahi ona wanaumwa kwa masalo
2.Mzungu malaria unamuondoa kufumba na kufumbua.
3.Mzungu ni mnafiki kuliko kiumbe yeyote huuma huku anapuluza.Anaunda silaha za maangamizi ya viumbe, hio ni roho mbaya sana ila umeaminishwa ni akili sana kuunda misilaha
4.Mzungh amewaaminisha watu kama wewe kuwa yeye ni bora kumbe sio kweli, kuna wajapani nk ambao wanaustawi wa hali ya juu.
5.Mzungu anawivu bora hata ya wivu wa kike.Hili tumelishuhudia china ilipopata korona hakutoa msaada eti wachina wajijue ili wasimpite kimaendeleo cha ajabu korona ikageuza kibao, wanabaki wanalialia wanataka hata China iwasaidie.
Kizazi kinachohusu wazungu lazima in miaka 40 kupanda Ila chini ya hapo wanajua mchina ndio mtu mwenye akili duniani kila kitu kinaundwa na machina.Inawezekana hata hapo ulipo huna kitu kilichotoka ulaya kuanzia nguo, vifaa vya nyumba hadi electronics.
Kuhusudu wazungu/wachina/warabu nk in ugonjwa wa akili kama magonjwa mengene ya akili.Wahi hospitali mkuu kichaa kisijekukolea
 
Nenda kaolewe na wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…