kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,404
- 3,358
Nawasifu sana wazungu wako original sana, yaani hawana chengachenga, siyo wabongo wanafiki sana tena wanafiki kupitiliza, harafu sijui tukoje yaani sisi tukotuko tu. Leo Mbongo anajifanya anaijua dini kuliko mzungu na mwarabu?
Maajabu haya tena ya karne, mbongo anawalaumu wazungu kwa kuwa wauza silaha, badala ya kulaumu wanaonunua. Mbongo nyanya imeoza badala kuitupa anaiita masalo mradi aile tu kisha anaumwa harafu anaenda hospital analipa pesa nyingi.
Mbongo analala na mbu ndani badala ya kuwaua ndo alale yeye analala nao harafu anawaua wakati wanamngata anajigeuza yeye mtego mpaka wamguse, Mbongo akisikia kiu badala ya kunywa maji anakunywa soda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maajabu haya tena ya karne, mbongo anawalaumu wazungu kwa kuwa wauza silaha, badala ya kulaumu wanaonunua. Mbongo nyanya imeoza badala kuitupa anaiita masalo mradi aile tu kisha anaumwa harafu anaenda hospital analipa pesa nyingi.
Mbongo analala na mbu ndani badala ya kuwaua ndo alale yeye analala nao harafu anawaua wakati wanamngata anajigeuza yeye mtego mpaka wamguse, Mbongo akisikia kiu badala ya kunywa maji anakunywa soda.
Sent using Jamii Forums mobile app