Nauza viwanja Mbezi Mwisho na Mabwe Pande

Nauza viwanja Mbezi Mwisho na Mabwe Pande

kanjahni

Member
Joined
Jul 19, 2014
Posts
42
Reaction score
14
BADO NAENDELEA NA KUUZA VIWANJA VYANGU- VIMEBAKI VICHACHE SANA

MBEZI MWISHO NJIA YA KWENDA MPIJI MAGOHE
Sifa za kiwanja - kiwanja kipo sehem tambarale ukubwa 35x38
huduma za jamii zipo hapo na mji umechangamka sana
Bei 8mil
umeme na maji vipo jirani sana
bara bara ni nzuri mpaka kwenye kiwanja
KWA MAWASILIANO NIPIGIE 0716 866241 AU 0755 069740.
- Eneo lina miti ya michungwa , mipera ,na minazi kuzunguuka kiwanja

MABWEPANDE- BUNJU B
Sifa za kiwanaja - kiwanja ni kikubwa na bado naendelea kuuza kulingana na mahitaj ya wanunuzi
nakata vipande vya ukubwa tofauti kuanzia na ukubwa wa hatua 20x20, 40x20
- kiwanja kipo jirani na shule ya mabwe na hospital ya mabwe
- eneo ni zuri na ni nje ya eneo la mradi wa viwanja vya serikali na ni jirani na kota za bunju saccos
- bei tsh 2mil kwa ukubwa wa 20x20
- umeme upo mbali kidogo ila maji yanapatikana kwa kuchimba,eneo ni tambalare
- bara bara ni safi mpaka eneo la kiwanjani
NB:Kwa wanao hitaj tuwasiliane kwa 0716 866241 au 0755 069740 EMAIL kanjahni@gmail.com
wahi mapema watu wajitwalia maeneo ya kutosha na eneo linakaribia kuisha

ahsante!!! karibu tufanye biashara sihitaj dalali tafadhali:flame:
 

Attachments

  • IMG_20140719_133458.jpg
    IMG_20140719_133458.jpg
    75.1 KB · Views: 187
  • IMG_20140719_133759.jpg
    IMG_20140719_133759.jpg
    41 KB · Views: 186
  • IMG_20140720_114342.jpg
    IMG_20140720_114342.jpg
    61.8 KB · Views: 177
  • IMG_20140719_133544.jpg
    IMG_20140719_133544.jpg
    53.3 KB · Views: 159
  • IMG_20140720_114139.jpg
    IMG_20140720_114139.jpg
    73.7 KB · Views: 162

Similar Discussions

Back
Top Bottom