ila ukiwa na hela vitu vya bei chee havipatikani[emoji22] [emoji22] [emoji22]
Ukiwa huna pesa bana hadi nyumba Ferrari itauzwa hadi laki moja ila huna namna nilikuwa navitaka hivi.
hakika mkuu ulichoongea ni 100% even me nilikuwa navihitaji hivi[emoji22] [emoji22] [emoji22]
Ukiwa huna pesa bana hadi nyumba Ferrari itauzwa hadi laki moja ila huna namna nilikuwa navitaka hivi.
Mimi ni kijana ambaye sina ajira nko na laki sita cash unaweza kuniachia tukaingia mkataba then nikawa nakulipa taratibu mkuuHabari bandugu,nina car washer naiuza 600,000,blower naiuza 250,000 na compressor ya lita 50 naiuza 300,000 nilikuwa na car wash sehemu baada ya kuletewa mazonge na wafanyakazi nikaifunga vifaa vipo tu ndani kwa maswali zaidi na anaehitaji tuwasiliane 0716 686118 na 0692928928View attachment 968765View attachment 968766View attachment 968767View attachment 968768
Nimekuchek mkuu namba yangu imeishia 63 ila nahisi uko busyNtafute tuongee!