Ungan wa nini? Mahindi
Mtama au just unga?
Kama ni unga ninaoujua utumikao kama chakula(ugali,uji etc) ulipaswa kusema uko wapi ili wateja wajue.
Mawasiliano.
Ila kama umeanzisha Uzi ukimaanisha unga madawa ya kulevya ukiwa na lengo la utani
Basi tena maana hilo jukwaa sio jukwaa la jokes