*****GARI IMESHAUZWA*****
Toyota Progress ya mwaka 2001 inauzwa shilingi Million 6 tu.
Automatic
2500 cc
Imeshatembea 78500Km tu
Ipo nchini tangu 2010
Bado iko katika hali nzuri sana, engine na kila kitu kipo intact.
*****GARI IMESHAUZWA******
inakunywa mafuta kushinda Prado,gruger,rav4,forester?
kama unapenda gari yenye nguvu basi usiwe muoga wa kuweka mafuta.
kweli mafuta inamimina lakini inakimbia pia.
Hizi gari labda km ni mtu wa trip ila km kwa mjini ni mtihani.
Maana inakula mpk 5.5km/litre km prado za 2.7trj yaani bora hata kluger ya 2.4 vvti inakula 6.7-7 kwa town km full time unatumia AC
Hzo gari zote nimezitumia na hayo nimeyaona dhahiri.
Hizi gari labda km ni mtu wa trip ila km kwa mjini ni mtihani.
Maana inakula mpk 5.5km/litre km prado za 2.7trj yaani bora hata kluger ya 2.4 vvti inakula 6.7-7 kwa town km full time unatumia AC
Hzo gari zote nimezitumia na hayo nimeyaona dhahiri.