Wote tunajua magari yetu 99.9% ni mtumba... akisema mpya anamaanisha haijatembea nchini au rahisi zaidi ni imetembea mabara ya watu huko.Km 67,000 alafu umesema mpya? Kwani ukisema ya mtumba inakuwaje?
Ushawai kumiliki gari au kuagiza gari from Japan??Km 67,000 alafu umesema mpya? Kwani ukisema ya mtumba inakuwaje?
Ndo utoe hela mtoto mzuriNzuri, inang'aa kama imefanyiwa lamination
Asante mkuu, humu watoto wanaoishi kwa baba na mama wanasumbu sana,Wote tunajua magari yetu 99.9% ni mtumba... akisema mpya anamaanisha haijatembea nchini au rahisi zaidi ni imetembea mabara ya watu huko.
Bado natafuta namba za Dr Luis, ani assistNdo utoe hela mtoto mzuri
Itapendeza sanaBado natafuta namba za Dr Luis, ani assist
Lakini jamaa hajasema kuhusu bei kasema kuiita mpya wakati ina mileage 67000 mi naona yupo sawa tu.Asante mkuu, humu watoto wanaoishi kwa baba na mama wanasumbu sana,
Waende showroom waone gari zina mileage hadi laki 2 na watu wanatoa mapesa.
Watz wanaonunua gari zero mileage ni wachache sana, kina Davies Mosha, watoto wa Barhesa, Nimrod Nkono, etc
Mimi ya kwangu nilinunua km 30000000,sasa bado wangeona mpyaAsante mkuu, humu watoto wanaoishi kwa baba na mama wanasumbu sana,
Waende showroom waone gari zina mileage hadi laki 2 na watu wanatoa mapesa.
Watz wanaonunua gari zero mileage ni wachache sana, kina Davies Mosha, watoto wa Barhesa, Nimrod Nkono, etc
Atakujibu hela zake zipo Kenya,Bado natafuta namba za Dr Luis, ani assist
Yule bwege, lofa (Mkapa voice)
Si ameandika never used in Tanzania au hauna macho we mtu?Acheni kutetea bana,
Hata Nguo tunazonunua Mitumbani nazo hazijawahi kutumika Tanzania but still tunasema ni Mtumba, iweje Gari muite ni Mpya??
Mleta Uzi kakosea, otherwise angemalizia tu ni Mpyakwa hapa Tanzania, lakini ikibaki tu Mpya then ina km 67,000 si kweli hii at any justification.
'Mia saba haidhuru' jamaa ana kauli za kibingwa yuleBado natafuta namba za Dr Luis, ani assist
Ume-reply katika kitu usichokielewa,Si ameandika never used in Tanzania au hauna macho we mtu?
We mtoto una maneno sana khaa!Nzuri, inang'aa kama imefanyiwa lamination