Nauza tende

Nauza tende

Berryblack

Member
Joined
Oct 3, 2022
Posts
65
Reaction score
99
Karibuni sana wateja mzgo wa tende 10kg utazipata kwa elfu sitini tu (60k).

Wateja wa mkoani mnafikiwa pia kwa. Kusafirishiwa mzgo kwa mawasiliano 0612630936 karibuni sanaa.
IMG_3032.jpeg
IMG_3033.jpeg
 
Yaani umeniongelea mimi napenda sana hii natengeneza sana kwang😍
😋 Huwa nzuri sana, mie huwa nafanya smoothie la ( oats, maziwa, avocado, banana, peanut butter, mtende , almond seed, mkorosho ) siwekagi kabisa maji, maziwa ya ngamia ndio huyatimia kama maji.. yaaani hadi raha
 
😋 Huwa nzuri sana, mie huwa nafanya smoothie la ( oats, maziwa, avocado, banana, peanut butter, mtende , almond seed, mkorosho ) siwekagi kabisa maji, maziwa ya ngamia ndio huyatimia kama maji.. yaaani hadi raha
We unaweka vitu vingi mno😂

Mi naweka ndizi,korosho,peanut,nazi,almond,tende na maziwa 😋

Sema ukizoea unanenepaa😂
 

Attachments

  • D2495A03-4617-4579-8907-6667B4A3F939.jpeg
    D2495A03-4617-4579-8907-6667B4A3F939.jpeg
    102.6 KB · Views: 7
We unaweka vitu vingi mno😂

Mi naweka ndizi,korosho,peanut,nazi,almond,tende na maziwa 😋

Sema ukizoea unanenepaa😂
Naomba hiyo 😋😋.. ni kweli inanepesha. Nasikia pia inaongeza manii sijui Sasa kama kweli au fix
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom