Nauza Tecno H6

Nauza Tecno H6

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,123
Reaction score
2,444
Nauza simu ya Tecno H6 iko poa sana haona mkwaruzo wowote, bei 140,000, nipo Dar es salaam! Nichek kwa 0713415537
 
Nauza Tecno J8 bado ipo katka hali nzuri imetumika miez miwili, nipo Mwanza
 
Nauza simu ya Tecno H6 iko poa sana haona mkwaruzo wowote, bei 140,000, nipo Dar es salaam! Nichek kwa 0713415537
Mkuu utakapo gundua huwezi kumpata mteja kwa hiyo bei njoo nikupe 50k!!
 
NAKUPA 40, NA TECNO T528 mpya yny betri ya 2500amh, na chaja yake hii cm kkoo n elf 55 nenda kaulze betri inamalza zaid ya 2 wk, mwisho wa mwez nakupa 40 tena. 0764726071
 
NAKUPA 40, NA TECNO T528 mpya yny betri ya 2500amh, na chaja yake hii cm kkoo n elf 55 nenda kaulze betri inamalza zaid ya 2 wk, mwisho wa mwez nakupa 40 tena. 0764726071
Hapana mkuu sina shida ya simu!
 
NAKUPA 40, NA TECNO T528 mpya yny betri ya 2500amh, na chaja yake hii cm kkoo n elf 55 nenda kaulze betri inamalza zaid ya 2 wk, mwisho wa mwez nakupa 40 tena. 0764726071
Weee acha utani
 
Njoo na elfu sabini tu nikupe techno h6 yangu nimenunua week mbili zilizo pita haina shida yoyote piga 0753868912
 
Na pia ninauza tablet ya itel it 1702 yenye Ram 1 gb Rom 16 gb processor 1.4 qd core android version ya 6.1 na pia ina battery ya mil.amps 3500 nauza kwa laki na sabini tu kwa mteja wa Mwanza nakuletea mpaka mlangoni bei ni 170000/= napatikana kwa namba 0753868912
 
Back
Top Bottom